Skip to content
اللَّيل /

Aya 18

92 : 18
اللَّيل Aya 21
Sura · اللَّيل
Kiswahili · Barawani
92 : 18

ٱلَّذِي يُؤۡتِي مَالَهُۥ يَتَزَكَّىٰ

Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.

Explanation & meanings · 1
  1. Amabye hutoa mali yake wakati wa nafasi ili kujisafisha na uchafu wa ubakhili, na najsi ya uchoyo.