Skip to content
الصَّافَات /

Aya 166

37 : 166
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 166

وَإِنَّا لَنَحۡنُ ٱلۡمُسَبِّحُونَ

Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na hakika sisi bila ya shaka yoyote ndio wenye kumtakasa Mwenyezi Mungu na kila lisilo kuwa na maelekeo naye katika kila hali.