Skip to content
المَسَد /

Aya 2

111 : 2
المَسَد Aya 5
Sura · المَسَد
Kiswahili · Barawani
111 : 2

مَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ

Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.

Explanation & meanings · 1
  1. Hayatolindwa na adhabu ya Mwenyezi Mungu mali yake aliyo kuwa nayo, wala cheo chake alicho kichuma.