Skip to content
المَسَد /

Aya 1

111 : 1
المَسَد Aya 5
Sura · المَسَد
Kiswahili · Barawani
111 : 1

تَبَّتۡ يَدَآ أَبِي لَهَبٖ وَتَبَّ

Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.

Explanation & meanings · 1
  1. Imeteketea mikono ya Abu Lahab iliyo kuwa ikiwaudhi Waislamu, na yeye mwenyewe amehiliki pia.