Skip to content
الأعلى /

Aya 13

87 : 13
الأعلى Aya 19
Sura · الأعلى
Kiswahili · Barawani
87 : 13

ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحۡيَىٰ

Tena humo hatakufa wala hawi hai.

Explanation & meanings · 1
  1. Tena hatokufa huko Motoni akapumzika kwa kifo, wala hawi hai kwa uhai wa kustarehe nao.