76 : 12
وَجَزَىٰهُم بِمَا صَبَرُواْ جَنَّةٗ وَحَرِيرٗا
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
Explanation & meanings · 1
- Na akawajazi kwa ile subira yao Pepo imeenea furaha, na nguo zake ni hariri laini.