Skip to content
المُزمل /

Aya 13

73 : 13
المُزمل Aya 20
Sura · المُزمل
Kiswahili · Barawani
73 : 13

وَطَعَامٗا ذَا غُصَّةٖ وَعَذَابًا أَلِيمٗا

Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.

Explanation & meanings · 1
  1. Na chakula kinacho sakama kooni, hakimezeki, na adhabu yenye uchungu mkali usio stahamilika.