7 : 118
فَوَقَعَ ٱلۡحَقُّ وَبَطَلَ مَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ
Kweli ikathibiti na yakabat'ilika waliyo kuwa wakiyatenda.
Explanation & meanings · 1
- Basi Haki ikathibiti na kudhihiri upande wa Musa a.s. na ukabwatika udanganyifu wa wachawi.