Skip to content
الأعرَاف /

Aya 119

7 : 119
الأعرَاف Aya 206
Sura · الأعرَاف
Kiswahili · Barawani
7 : 119

فَغُلِبُواْ هُنَالِكَ وَٱنقَلَبُواْ صَٰغِرِينَ

Kwa hivyo walishindwa hapo, na wakageuka kuwa wadogo.

Explanation & meanings · 1
  1. Firauni na waheshimiwa wake wakashindwa katika ule mkutano mkubwa, na wakawa madhalili mbele ya watu wote kwa masaibu yaliyo wapata, nayo ni kuvunjika moyo na kukata tamaa.