Skip to content
الحَاقة /

Aya 48

69 : 48
الحَاقة Aya 52
Sura · الحَاقة
Kiswahili · Barawani
69 : 48

وَإِنَّهُۥ لَتَذۡكِرَةٞ لِّلۡمُتَّقِينَ

Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na hakika Qur'ani ni mawaidha kwa wanao fuata amri za Mwenyezi Mungu, na wanaepuka makatazo yake.