Skip to content
القَمَر /

Aya 2

54 : 2
القَمَر Aya 55
Sura · القَمَر
Kiswahili · Barawani
54 : 2

وَإِن يَرَوۡاْ ءَايَةٗ يُعۡرِضُواْ وَيَقُولُواْ سِحۡرٞ مُّسۡتَمِرّٞ

Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea.

Explanation & meanings · 1
  1. Na makafiri wakiona Ishara, yaani muujiza mkubwa, wao hupuuza wakaacha kuuamini. Bali husema: Huu ni uchawi wa daima unaendelea!