Skip to content
القَمَر /

Aya 3

54 : 3
القَمَر Aya 55
Sura · القَمَر
Kiswahili · Barawani
54 : 3

وَكَذَّبُواْ وَٱتَّبَعُوٓاْ أَهۡوَآءَهُمۡۚ وَكُلُّ أَمۡرٖ مُّسۡتَقِرّٞ

Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.

Explanation & meanings · 1
  1. Na wamewakanusha Mitume na wakafuata yaliyo zainishwa na matamanio yao. Na kila jambo huishia mwisho wake linapo tulia na kuthibiti.