52 : 33
أَمۡ يَقُولُونَ تَقَوَّلَهُۥۚ بَل لَّا يُؤۡمِنُونَ
Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!
Explanation & meanings · 1
- Bali ati wanasema: Muhammad ameizua hii Qur'ani! Bali hawa kwa ukaidi wao hawaamini tu.
أَمۡ يَقُولُونَ تَقَوَّلَهُۥۚ بَل لَّا يُؤۡمِنُونَ
Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!