Skip to content
الدُّخان /

Aya 12

44 : 12
الدُّخان Aya 59
Sura · الدُّخان
Kiswahili · Barawani
44 : 12

رَّبَّنَا ٱكۡشِفۡ عَنَّا ٱلۡعَذَابَ إِنَّا مُؤۡمِنُونَ

Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini.

Explanation & meanings · 1
  1. Kama pia watavyo sema kwa kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu: Hakika sisi tutaamini ukituondolea adhabu ya njaa na dhiki.