Skip to content
يسٓ /

Aya 29

36 : 29
يسٓ Aya 83
Sura · يسٓ
Kiswahili · Barawani
36 : 29

إِن كَانَتۡ إِلَّا صَيۡحَةٗ وَٰحِدَةٗ فَإِذَا هُمۡ خَٰمِدُونَ

Hakukuwa ila ukelele mmoja tu; na mara walizimwa!

Explanation & meanings · 1
  1. Kuteketezwa kwao hakukuwa ila ni kwa ukelele mmoja tu tulio wapelekea. Na mara wao wakawa ni maiti, kama moto ulio zimwa.