Skip to content
يسٓ /

Aya 30

36 : 30
يسٓ Aya 83
Sura · يسٓ
Kiswahili · Barawani
36 : 30

يَٰحَسۡرَةً عَلَى ٱلۡعِبَادِۚ مَا يَأۡتِيهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا كَانُواْ بِهِۦ يَسۡتَهۡزِءُونَ

Nawasikitikia waja wangu. Hawajii Mtume ila wao humkejeli.

Explanation & meanings · 1
  1. Ee khasara yao, inayo faa kusikitikiwa! Hatuwapelekei waja wangu Mtume ila wao huwa wakimfanyia maskhara.