Skip to content
المؤمنُون /

Aya 9

23 : 9
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 9

وَٱلَّذِينَ هُمۡ عَلَىٰ صَلَوَٰتِهِمۡ يُحَافِظُونَ

Na ambao Swala zao wanazihifadhi .

Explanation & meanings · 1
  1. Na wawe wenye kudumisha kutimiza Swala kwa nyakati zake, na kuzitekeleza kwa nguzo zake na unyenyekevu wake, mpaka yapatikane makusudio yake. Nayo ni kuachisha uchafu na maovu.