Skip to content
المؤمنُون /

Aya 8

23 : 8
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 8

وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِأَمَٰنَٰتِهِمۡ وَعَهۡدِهِمۡ رَٰعُونَ

Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao!

Explanation & meanings · 1
  1. Na (hao Waumini) wawe ni wenye kuhifadhi kila walicho pewa kuwa ni amana, ikiwa mali au neno au kitendo au chenginecho, na watimize kila ahadi iliyo baina yao na Mwenyezi Mungu au na watu. Wasikhuni amana, wala wasivunje ahadi.