Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 95

21 : 95
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 95

وَحَرَٰمٌ عَلَىٰ قَرۡيَةٍ أَهۡلَكۡنَٰهَآ أَنَّهُمۡ لَا يَرۡجِعُونَ

Na haiwi kwa wana-mji tulio uangamiza, ya kwamba hawatarejea,

Explanation & meanings · 1
  1. Na haitakuwa kwa watu wa mji tulio uteketeza kwa sababu ya dhulma yao kwamba hawatarejea kwetu Siku ya Kiyama, bali hapana budi kuwa watarejea na tutawahisabia vitendo vyao viovu.