Skip to content
الأنبيَاء /

Aya 96

21 : 96
الأنبيَاء Aya 112
Sura · الأنبيَاء
Kiswahili · Barawani
21 : 96

حَتَّىٰٓ إِذَا فُتِحَتۡ يَأۡجُوجُ وَمَأۡجُوجُ وَهُم مِّن كُلِّ حَدَبٖ يَنسِلُونَ

Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima;

Explanation & meanings · 1
  1. Mpaka itapo funguliwa milango ya shari na ufisadi, wakaingia wana wa Juju na Maajuju wakikimbizana kuteremka milimani na majiani kwa kufanya vitendo vya fujo na rabsha.