Skip to content
يُوسُف /

Aya 103

12 : 103
يُوسُف Aya 111
Sura · يُوسُف
Kiswahili · Barawani
12 : 103

وَمَآ أَكۡثَرُ ٱلنَّاسِ وَلَوۡ حَرَصۡتَ بِمُؤۡمِنِينَ

Na wengi wa watu si wenye kuamini hata ukijitahidi.

Explanation & meanings · 1
  1. Na wapo wengi ambao tabia zao zina maradhi zinazo wazuia wasisadiki haya unayo funuliwa, hata moyo wako ukiwa una shauku namna gani waamini, au nafsi yako ikafanya juhudi gani waongoke.