Skip to content
الزَّلزَلة /

Aya 2

99 : 2
الزَّلزَلة Aya 8
Sura · الزَّلزَلة
Kiswahili · Barawani
99 : 2

وَأَخۡرَجَتِ ٱلۡأَرۡضُ أَثۡقَالَهَا

Na itakapo toa ardhi mizigo yake!

Explanation & meanings · 1
  1. Na ardhi ikatoa yote yaliomo katika ndani ya tumbo lake, ikiwa khazina au maiti walio kwisha zikwa!