96 : 18
سَنَدۡعُ ٱلزَّبَانِيَةَ
Nasi tutawaita Mazabania!
Explanation & meanings · 1
- Sisi tutawaita askari wetu wamsaidie Muhammad na walio pamoja naye, na wapambane na huyo mwenye kukanya na wasaidizi wawasukume kwenye Jahannamu!
سَنَدۡعُ ٱلزَّبَانِيَةَ
Nasi tutawaita Mazabania!