Skip to content
العَلَق /

Aya 18

96 : 18
العَلَق Aya 19
Sura · العَلَق
Kiswahili · Barawani
96 : 18

سَنَدۡعُ ٱلزَّبَانِيَةَ

Nasi tutawaita Mazabania!

Explanation & meanings · 1
  1. Sisi tutawaita askari wetu wamsaidie Muhammad na walio pamoja naye, na wapambane na huyo mwenye kukanya na wasaidizi wawasukume kwenye Jahannamu!