Skip to content
العَلَق /

Aya 14

96 : 14
العَلَق Aya 19
Sura · العَلَق
Kiswahili · Barawani
96 : 14

أَلَمۡ يَعۡلَم بِأَنَّ ٱللَّهَ يَرَىٰ

Hajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anaona?

Explanation & meanings · 1
  1. Hivyo hajui kwamba Mwenyezi Mungu anazijua vyema hali zake, naye atamlipa kwazo?