Skip to content
العَلَق /

Aya 13

96 : 13
العَلَق Aya 19
Sura · العَلَق
Kiswahili · Barawani
96 : 13

أَرَءَيۡتَ إِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰٓ

Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?

Explanation & meanings · 1
  1. Niambie khabari za huyu mwenye kukataza anapo yakadhibisha aliyo kuja nayo Mtume, na akapuuza Imani na vitendo vyema!