84 : 20
فَمَا لَهُمۡ لَا يُؤۡمِنُونَ
Basi wana nini hawaamini?
Explanation & meanings · 1
- Wana nini hawa makafiri yanayo wazuia wasimuamini Mwenyezi Mungu na kufufuliwa baada ya kuwekwa wazi dalili zake zote za kuwajibika kwake?
فَمَا لَهُمۡ لَا يُؤۡمِنُونَ
Basi wana nini hawaamini?