Skip to content
الانشِقَاق /

Aya 20

84 : 20
الانشِقَاق Aya 25
Sura · الانشِقَاق
Kiswahili · Barawani
84 : 20

فَمَا لَهُمۡ لَا يُؤۡمِنُونَ

Basi wana nini hawaamini?

Explanation & meanings · 1
  1. Wana nini hawa makafiri yanayo wazuia wasimuamini Mwenyezi Mungu na kufufuliwa baada ya kuwekwa wazi dalili zake zote za kuwajibika kwake?