Skip to content
النَّبَإ /

Aya 20

78 : 20
النَّبَإ Aya 40
Sura · النَّبَإ
Kiswahili · Barawani
78 : 20

وَسُيِّرَتِ ٱلۡجِبَالُ فَكَانَتۡ سَرَابًا

Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.

Explanation & meanings · 1
  1. Na milima itaondolewa baada ya kung'olewa mwahala mwake, na kuvurugwa, ikawa unaiona kama sura ya milima na hali hiyo ni kifusi tu kilicho rindikwa, kama uonavyo mangati, sarabi, unaona kama sura ya maji nayo si maji.