Skip to content
القِيَامة /

Aya 5

75 : 5
القِيَامة Aya 40
Sura · القِيَامة
Kiswahili · Barawani
75 : 5

بَلۡ يُرِيدُ ٱلۡإِنسَٰنُ لِيَفۡجُرَ أَمَامَهُۥ

Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake.

Explanation & meanings · 1
  1. Hivyo mtu anakanya kufufuliwa? Anataka abakie katika uasi wake katika siku zote zilizo mbakilia katika umri wake ulio salia?