Skip to content
القِيَامة /

Aya 4

75 : 4
القِيَامة Aya 40
Sura · القِيَامة
Kiswahili · Barawani
75 : 4

بَلَىٰ قَٰدِرِينَ عَلَىٰٓ أَن نُّسَوِّيَ بَنَانَهُۥ

Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!

Explanation & meanings · 1
  1. Hasha! Sisi tuna uweza wa kuviweka sawa hata vifupa vya vidole vyake vilivyo vurugika, wachilia mbali mafupa yake makubwa makubwa ya mwili wake.