Skip to content
المُزمل /

Aya 11

73 : 11
المُزمل Aya 20
Sura · المُزمل
Kiswahili · Barawani
73 : 11

وَذَرۡنِي وَٱلۡمُكَذِّبِينَ أُوْلِي ٱلنَّعۡمَةِ وَمَهِّلۡهُمۡ قَلِيلًا

Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!

Explanation & meanings · 1
  1. Niachilie Mimi hao wanao kadhibisha, wenye kuneemeshwa, na uwape muhula muda mfupi.