Skip to content
المَعَارج /

Aya 32

70 : 32
المَعَارج Aya 44
Sura · المَعَارج
Kiswahili · Barawani
70 : 32

وَٱلَّذِينَ هُمۡ لِأَمَٰنَٰتِهِمۡ وَعَهۡدِهِمۡ رَٰعُونَ

Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,

Explanation & meanings · 1
  1. Na hao wenye kuzihifadhi amana za sharia na amana za waja wa Mwenyezi Mungu, na walio lazimika nayo kwa Mwenyezi Mungu na kwa watu bila ya kukhuni wala kupunja,