Skip to content
الأعرَاف /

Aya 202

7 : 202
الأعرَاف Aya 206
Sura · الأعرَاف
Kiswahili · Barawani
7 : 202

وَإِخۡوَٰنُهُمۡ يَمُدُّونَهُمۡ فِي ٱلۡغَيِّ ثُمَّ لَا يُقۡصِرُونَ

Na ndugu zao wanawavutia kwenye upotofu, kisha wao hawaachi.

Explanation & meanings · 1
  1. Na ndugu zao mashetani, nao ni hao makafiri, mashetani huwazidisha upotovu kwa kuwajaza wasiwasi. Tena hawa makafiri hawaachi upotovu wao wakazingatia.