Skip to content
الأعرَاف /

Aya 199

7 : 199
الأعرَاف Aya 206
Sura · الأعرَاف
Kiswahili · Barawani
7 : 199

خُذِ ٱلۡعَفۡوَ وَأۡمُرۡ بِٱلۡعُرۡفِ وَأَعۡرِضۡ عَنِ ٱلۡجَٰهِلِينَ

Shikamana na kusamehe, na amrisha mema, na jitenge na majaahili.

Explanation & meanings · 1
  1. Ewe Nabii! Waachilie mbali hao majaahili, na endelea katika njia ya Da'wa (Wito). Na wachukulie watu kwa lilio wepesi kwao. Na waamrishe kila jambo linalo pendeza na kuingia akilini.