68 : 11
هَمَّازٖ مَّشَّآءِۭ بِنَمِيمٖ
Mtapitapi apitae akifitini.
Explanation & meanings · 1
- Mtapitapi mwenye kueneza aibu za watu, mwenye kuwasengenya watu, kuwasema kwa siri, mwenye kutwaa maneno baina ya watu kwa sababu ya kuwafisidi,