Skip to content
القَمَر /

Aya 6

54 : 6
القَمَر Aya 55
Sura · القَمَر
Kiswahili · Barawani
54 : 6

فَتَوَلَّ عَنۡهُمۡۘ يَوۡمَ يَدۡعُ ٱلدَّاعِ إِلَىٰ شَيۡءٖ نُّكُرٍ

Basi jiepushe nao. Siku atakapo ita mwitaji kuliendea jambo linalo chusha; .

Explanation & meanings · 1
  1. Ewe Muhammad! Waachilie mbali hawa makafiri, nawe ngojea siku atapoita mwitaji wa Mwenyezi Mungu kuitia jambo ambalo nafsi inalichukia mno!