Skip to content
القَمَر /

Aya 5

54 : 5
القَمَر Aya 55
Sura · القَمَر
Kiswahili · Barawani
54 : 5

حِكۡمَةُۢ بَٰلِغَةٞۖ فَمَا تُغۡنِ ٱلنُّذُرُ

Hikima kaamili; lakini maonyo hayafai kitu!

Explanation & meanings · 1
  1. Haya yaliyo wajia ni hikima kubwa na lengo la kufikia mbali. Lakini maonyo yataleta faida gani kwa wanao zipinga hikima hizo?