Skip to content
الذَّاريَات /

Aya 46

51 : 46
الذَّاريَات Aya 60
Sura · الذَّاريَات
Kiswahili · Barawani
51 : 46

وَقَوۡمَ نُوحٖ مِّن قَبۡلُۖ إِنَّهُمۡ كَانُواْ قَوۡمٗا فَٰسِقِينَ

Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kaumu ya Nuhu tuliihiliki kabla ya hawa. Hakika hao walikuwa watu walio toka nje ya ut'iifu wa Mwenyezi Mungu.