Skip to content
الذَّاريَات /

Aya 38

51 : 38
الذَّاريَات Aya 60
Sura · الذَّاريَات
Kiswahili · Barawani
51 : 38

وَفِي مُوسَىٰٓ إِذۡ أَرۡسَلۡنَٰهُ إِلَىٰ فِرۡعَوۡنَ بِسُلۡطَٰنٖ مُّبِينٖ

Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni na hoja wazi.

Explanation & meanings · 1
  1. Na katika kisa cha Musa yapo mawaidha. Tulipo mtuma kwa Firauni, na tukatilia nguvu kwa kumpa ushahidi ulio wazi.