Skip to content
الذَّاريَات /

Aya 37

51 : 37
الذَّاريَات Aya 60
Sura · الذَّاريَات
Kiswahili · Barawani
51 : 37

وَتَرَكۡنَا فِيهَآ ءَايَةٗ لِّلَّذِينَ يَخَافُونَ ٱلۡعَذَابَ ٱلۡأَلِيمَ

Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na katika mji huo tumeacha alama ya maangamizo ya watu wake, ili wapate kuzingatia wanayo ikhofu adhabu chungu.