Skip to content
الدُّخان /

Aya 55

44 : 55
الدُّخان Aya 59
Sura · الدُّخان
Kiswahili · Barawani
44 : 55

يَدۡعُونَ فِيهَا بِكُلِّ فَٰكِهَةٍ ءَامِنِينَ

Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.

Explanation & meanings · 1
  1. Nao huko Peponi watataka kila tunda wanalo litamani, kwa kujua kuwa hayatawaletea vimbizi, wala hayatakwisha, wala hayataadimika.