Skip to content
الدُّخان /

Aya 20

44 : 20
الدُّخان Aya 59
Sura · الدُّخان
Kiswahili · Barawani
44 : 20

وَإِنِّي عُذۡتُ بِرَبِّي وَرَبِّكُمۡ أَن تَرۡجُمُونِ

Nami najikinga kwa Mola wangu Mlezi na ndiye Mola wenu Mlezi pia, ili msinipige mawe.

Explanation & meanings · 1
  1. Na mimi najilinda na Mwenye kuniumba msiweze kuniuwa kwa kunipiga mawe.