Skip to content
الزُّخرُف /

Aya 28

43 : 28
الزُّخرُف Aya 89
Sura · الزُّخرُف
Kiswahili · Barawani
43 : 28

وَجَعَلَهَا كَلِمَةَۢ بَاقِيَةٗ فِي عَقِبِهِۦ لَعَلَّهُمۡ يَرۡجِعُونَ

Na akalifanya hili liwe neno lenye kubaki katika vizazi vyake ili warejee.

Explanation & meanings · 1
  1. Kwa kuwatangazia hivyo, likawa hilo Neno la Tawhidi, ni neno lenye kubakia katika dhuriya zake, ili wapate kulirejelea, waliamini.