Skip to content
الزُّمَر /

Aya 70

39 : 70
الزُّمَر Aya 75
Sura · الزُّمَر
Kiswahili · Barawani
39 : 70

وَوُفِّيَتۡ كُلُّ نَفۡسٖ مَّا عَمِلَتۡ وَهُوَ أَعۡلَمُ بِمَا يَفۡعَلُونَ

Na kila nafsi italipwa kwa yale iliyo yafanya, na Yeye anayajua sana wanayo yatenda.

Explanation & meanings · 1
  1. Na kila nafsi itapewa malipo ya a'mali yake, na Mwenyezi Mungu ni mbora wa kujua vitendo vyao.