Skip to content
صٓ /

Aya 88

38 : 88
صٓ Aya 88
Sura · صٓ
Kiswahili · Barawani
38 : 88

وَلَتَعۡلَمُنَّ نَبَأَهُۥ بَعۡدَ حِينِۭ

Na bila ya shaka mtajua khabari zake baada ya muda.

Explanation & meanings · 1
  1. Na hapana shaka nyinyi, mnao ikadhibisha Qur'ani, mtakuja jua karibuni hivi ukweli uliomo ndani yake wa ahadi, na maonyo, na khabari za mambo yatakayo kuja, na Ishara za ulimwengu.