Skip to content
الصَّافَات /

Aya 67

37 : 67
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 67

ثُمَّ إِنَّ لَهُمۡ عَلَيۡهَا لَشَوۡبٗا مِّنۡ حَمِيمٖ

Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.

Explanation & meanings · 1
  1. Kisha washirikina hao juu ya kula mti wa Zaqqum watapewa maji yaliyo changanywa, yamoto, ya kuwababua nyuso zao, na kukatakata matumbo yao.