Skip to content
الصَّافَات /

Aya 66

37 : 66
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 66

فَإِنَّهُمۡ لَأٓكِلُونَ مِنۡهَا فَمَالِـُٔونَ مِنۡهَا ٱلۡبُطُونَ

Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.

Explanation & meanings · 1
  1. Na wao watakuwa wanakula matunda ya mti huo, na wajaze matumbo yao kwayo. Kwani hawanacho kinginecho cha kukila.