Skip to content
الصَّافَات /

Aya 68

37 : 68
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 68

ثُمَّ إِنَّ مَرۡجِعَهُمۡ لَإِلَى ٱلۡجَحِيمِ

Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.

Explanation & meanings · 1
  1. Tena mwisho wao ni Motoni. Wao watakuwa katika adhabu ya milele. Wataletwa kutoka Motoni waje kula mti wa Zaqqum kisha wanyweshe kinywaji hicho, na tena warejeshwe mahala pao katika Jahannamu.