Skip to content
الصَّافَات /

Aya 64

37 : 64
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 64

إِنَّهَا شَجَرَةٞ تَخۡرُجُ فِيٓ أَصۡلِ ٱلۡجَحِيمِ

Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika huo ni mti ulioko katikati ya Jahannamu, umekulia huko Motoni, na umeumbwa kutokana na huko huko.