Skip to content
الصَّافَات /

Aya 63

37 : 63
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 63

إِنَّا جَعَلۡنَٰهَا فِتۡنَةٗ لِّلظَّٰلِمِينَ

Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika Sisi tumeujaalia mti huu uwe ni mtihani na adhabu ya Akhera kwa ajili ya washirikina.