Skip to content
الصَّافَات /

Aya 164

37 : 164
الصَّافَات Aya 182
Sura · الصَّافَات
Kiswahili · Barawani
37 : 164

وَمَا مِنَّآ إِلَّا لَهُۥ مَقَامٞ مَّعۡلُومٞ

Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na Malaika kuwania kuwa wao ni waja wa Mwenyezi Mungu, wakasema: Hapana yeyote katika sisi ila ana cheo chake maalumu katika ujuzi, na ibada, na wala hakikiuki hicho.